lördag 17 oktober 2009

WAGENI NI WATOTO WASOMAO HAPA RUHUWIKO KATIKA SHULE YA VIZIWI (SONGEA)


Hapa ni watoto ambao wanasoma shule ya Viziwi hapa Ruhuwiko walikuja kutusalimia hapa kwetu. Bahati mbaya siku hii kulinyesha mvua kubwa sana na ya radi. Kwa hiyo watoto wote na wengine ikabidi tuingie ndani. Hapo ni sebuleni kwetu.